Hazchem plate JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 11,048 Reaction score 15,465 Dec 6, 2017 #21 From Sir With Love said: Hazchem, sina ubishi na hilo. Issue ilikuwa ni ulaji wa mafuta kwenye hizo category mbili wakati gari ipo on. Click to expand... Sawa kaka. Pamoja
From Sir With Love said: Hazchem, sina ubishi na hilo. Issue ilikuwa ni ulaji wa mafuta kwenye hizo category mbili wakati gari ipo on. Click to expand... Sawa kaka. Pamoja
bukoba boy JF-Expert Member Joined Jan 15, 2015 Posts 5,370 Reaction score 3,962 Dec 6, 2017 #22 Kwanza nani amewaambia muweke gari auto neutral wakati unaendesha? Acheni ushamba mtaharibu tugari twenu huto
Kwanza nani amewaambia muweke gari auto neutral wakati unaendesha? Acheni ushamba mtaharibu tugari twenu huto
Nussayr JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 240 Reaction score 233 Dec 6, 2017 #23 bukoba boy said: Kwanza nani amewaambia muweke gari auto neutral wakati unaendesha? Acheni ushamba mtaharibu tugari twenu huto Click to expand... Ujanja ni Kufanyaje Boy???
bukoba boy said: Kwanza nani amewaambia muweke gari auto neutral wakati unaendesha? Acheni ushamba mtaharibu tugari twenu huto Click to expand... Ujanja ni Kufanyaje Boy???
Nsame JF-Expert Member Joined Mar 12, 2012 Posts 478 Reaction score 123 Dec 6, 2017 #24 pureView Zeiss said: Wengi wanadai mafuta huwa hayatumiki pindi unapoweka neutral hata mimi nakubaliana na hilo Click to expand... Mnazungumzia kupunguza ulaji au kutokula kabisa?!! Maana najua gari ikiunguruma tu ni mafuta sasa kama N haili mafuta inakula nn wakuu?
pureView Zeiss said: Wengi wanadai mafuta huwa hayatumiki pindi unapoweka neutral hata mimi nakubaliana na hilo Click to expand... Mnazungumzia kupunguza ulaji au kutokula kabisa?!! Maana najua gari ikiunguruma tu ni mafuta sasa kama N haili mafuta inakula nn wakuu?