simbamweupe
Member
- Mar 9, 2011
- 17
- 2
Habari za siku nyingi,
nilikuwa naomba msaada wa watalaamu kuhusu maana yake "FUJO", katika sheria ya Tanzania.
Je mtu moja, anaweza kuletea fujo, bila kumshambulia kimwili, bila kumshika wala kumgusa, bila kumtishia wala kumtukana mtu mwingine yeyote, na pia bila kurushia chochote hewani au chini?
Ahsante sana kwa msaada nitakaopewa.
Simbamweupe
nilikuwa naomba msaada wa watalaamu kuhusu maana yake "FUJO", katika sheria ya Tanzania.
Je mtu moja, anaweza kuletea fujo, bila kumshambulia kimwili, bila kumshika wala kumgusa, bila kumtishia wala kumtukana mtu mwingine yeyote, na pia bila kurushia chochote hewani au chini?
Ahsante sana kwa msaada nitakaopewa.
Simbamweupe