Fujo za Usajili, Stand United a.k.a "Chama La Wana"

Fujo za Usajili, Stand United a.k.a "Chama La Wana"

sembo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
4,350
Reaction score
3,451
Trh 16/05/2015, Mkurugenzi wa Ufundi wa Stand United, Kanu alidai wametenga 350m kwa ajili ya usajili msimu huu!!

Juzi kaibuka na kudai wapo kwenye mazungumzo ya kumsajili Juma Kaseja kwa dau la 40 milioni, hapo ni pembeni na mshahara!!

Leo kaibuka tena na kudai, wanamsubiri Salim Mbonde arejee toka SA ili wafanye mazungumzo ya kumsajili. Ikumbukwe mpaka sasa kulwa na doto zinahangaika kumsajili.

Namnukuu Kanu..
".. kwa fungu tulionalo la usajili toka kwa wadhamini wetu, tunaweza kumsajili mchezaji yoyote toka Simba, Yanga na hata hao Azam."

Kama anachoongea Kanu, ni kweli inabidi tujipange ipasavyo lasivyo kina Messi, Kavumbagu ambao mikataba yao imeisha tutawapoteza.

ANGALIZO:
Yanga Sc = Wametenga 730m kwa usajili wa timu itakayokaa miaka miwili.

Stand United = 350m kwa usajili wa dirisha hili tu!!

Simba Sc = ???
 
Yaani hawa viongozi wa soka la Bongo kama wana laana vile,yaani kuna watu wanaota usiku na mchana kumsajili huyo reject Kaseja,sitashangaa hiyo Stand msimu ujao ikishuka daraja.
 
Hao stand ningewaelewa iwapo wangesajili wachezaji wasio na majina lakini wakali kama ilivyo mbeya city, kagera na mgambo shooting. Hizo siasa nyingine za usajili wawaachie simba na yanga. Azam nao walianzia kupoteza dira hapo hapo baada ya kuingiza siasa za usajili kama simba na yanga. Kusajili hao wakina kaseja na wengine wenye majina makubwa sio tatizo lakini kuishi nao msimu mzima bila mizengwe, vurugu, mgawanyiko wa timu, utovu wa nidhamu shughuli ndio ipo hapo. Kama mdau alivyosema hapo juu kwa usajili huo tusishangae stendi ikishuka daraja msimu ujao mimi namuunga mkono.
 
Trh 16/05/2015, Mkurugenzi wa Ufundi wa Stand United, Kanu alidai wametenga 350m kwa ajili ya usajili msimu huu!!

Juzi kaibuka na kudai wapo kwenye mazungumzo ya kumsajili Juma Kaseja kwa dau la 40 milioni, hapo ni pembeni na mshahara!!

Leo kaibuka tena na kudai, wanamsubiri Salim Mbonde arejee toka SA ili wafanye mazungumzo ya kumsajili. Ikumbukwe mpaka sasa kulwa na doto zinahangaika kumsajili.

Namnukuu Kanu..
".. kwa fungu tulionalo la usajili toka kwa wadhamini wetu, tunaweza kumsajili mchezaji yoyote toka Simba, Yanga na hata hao Azam."

Kama anachoongea Kanu, ni kweli inabidi tujipange ipasavyo lasivyo kina Messi, Kavumbagu ambao mikataba yao imeisha tutawapoteza.

ANGALIZO:
Yanga Sc = Wametenga 730m kwa usajili wa timu itakayokaa miaka miwili.

Stand United = 350m kwa usajili wa dirisha hili tu!!

Simba Sc = ???

waambie hao makondakta na wapiga debe wenzako kuwa wafanye review ya timu kama za mecco fc, pamba fc, sigara fc, pilsner fc na reli fc ile ya morogoro ambazo zilikuwa zimesheheni wachezaji wenye uwezo mkubwa pengine kuliko hata yanga na simba lakini jiulize hizo timu zimepotelea wapi au zilikufaje? kuhusu usajili wa simba sports club kwa mwaka huu wametenga kiasi cha kama 1.5 billion kufanya usajili wake kabambe
 
waambie hao makondakta na wapiga debe wenzako kuwa wafanye review ya timu kama za mecco fc, pamba fc, sigara fc, pilsner fc na reli fc ile ya morogoro ambazo zilikuwa zimesheheni wachezaji wenye uwezo mkubwa pengine kuliko hata yanga na simba lakini jiulize hizo timu zimepotelea wapi au zilikufaje? kuhusu usajili wa simba sports club kwa mwaka huu wametenga kiasi cha kama 1.5 billion kufanya usajili wake kabambe

Haha.. Mkuu taarifa zako nitazifikisha kwa wapiga debe wenzangu.. Ila mi chama langu ni Simba Sc, na asante kwa taarifa ya fungu la usalili la mnyama.
 
Hao stand ningewaelewa iwapo wangesajili wachezaji wasio na majina lakini wakali kama ilivyo mbeya city, kagera na mgambo shooting. Hizo siasa nyingine za usajili wawaachie simba na yanga. Azam nao walianzia kupoteza dira hapo hapo baada ya kuingiza siasa za usajili kama simba na yanga. Kusajili hao wakina kaseja na wengine wenye majina makubwa sio tatizo lakini kuishi nao msimu mzima bila mizengwe, vurugu, mgawanyiko wa timu, utovu wa nidhamu shughuli ndio ipo hapo. Kama mdau alivyosema hapo juu kwa usajili huo tusishangae stendi ikishuka daraja msimu ujao mimi namuunga mkono.

Nadhani Mkuu.. suala ni management, ikiwa nzuri timu inasonga. Mfn mzuri ni katika timu ya Mwadui, iliyokusanya wakongwe waliotemwa kwa madai kua watovu wa nidhamu, viwango vimeshuka n.k kama chuji, mrope, uhuru na pawasa. Julio aliwakalisha chini.. akawapa darasa.. Na kilichotokea ni historia mana timu imepanda daraja, na hakuna taarifa za utovu wa nidhani katika kambi yao kama tulivyodhani.
 
Katoka Masau Bwire, kaingia Kanu!

Haha.. Ila naona kuna tamko la Afisa Habari wa Stand United limewekwa akikanusha habari alizokua akizitoa kila siku Kanu.
Sasa sijui huyu msemaji alikua wapi wakati wote!!
 
Back
Top Bottom