Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Habari,
Kuna hili sekeseke na mihemko ya kufuka machoka kwa kipindi kifupi sana kwa timu yetu ya Taifa.
Kabla ya huyu Ettiene Ndayiragije kocha ambaye tuliwapora Azam Fc kwa lazima na mbwembwe nyingi leo kamati ya TFF imemfungisha mizigo na kuondoka.
Tuliku na mtaalamu Emmanuel Amunike huyu alifanikiwa kuifikisha Taifa Stars mbali kidogo ukilinganisha na wengine waliopita.
Pamoja na wengine wengi hapo njuma hili sekeseke la fukuza fukuza limewasomba.
Tujiilize maswali kidogo juu ya huu utaratibu wa kufukuza makocha kwa timu yetu pekee (Taifa Stars)
✓ Tungefahamishwa kabisa scouts wanao husika kutafuta hawa makocha ni hakina nani?
✓ Kama wapo huwa wanapewa vigezo na sifa zipi nikiwa na maana ya malengo ya timu tufike wapi?
✓ Kuna watu katika hiyo kamati wananufaika na fukuza fukuza na umekuwa mradi hivyo biashara ili iweze kukua inabidi swala lidumu?
✓ Tunafaidika na nini na fukuza fukuza kwa upande wetu wa maendeleo kwa timu yetu ya Taifa Stars?
✓ Huyu aliyefukuzwa ameshindwa nini na huyo anayekuja ana utofauti upi tutakapo mleta?
Kwa ujumla tuangalie sana haya maamuzi na tusiwe watu wa kukurupuka, badala ya kupiga hatua mbele zaidi tutajikuta tunarudi nyumba hatua nyingi bila kustuka.
Tutabaki watu wa kukuza Curriculum Vitae (CV) za hao makocha tunao wafukuza fukuza leo.
Nawasilisha Mzee Mkoloni
Cc: Kichwa Kichafu.
Kuna hili sekeseke na mihemko ya kufuka machoka kwa kipindi kifupi sana kwa timu yetu ya Taifa.
Kabla ya huyu Ettiene Ndayiragije kocha ambaye tuliwapora Azam Fc kwa lazima na mbwembwe nyingi leo kamati ya TFF imemfungisha mizigo na kuondoka.
Tuliku na mtaalamu Emmanuel Amunike huyu alifanikiwa kuifikisha Taifa Stars mbali kidogo ukilinganisha na wengine waliopita.
Pamoja na wengine wengi hapo njuma hili sekeseke la fukuza fukuza limewasomba.
Tujiilize maswali kidogo juu ya huu utaratibu wa kufukuza makocha kwa timu yetu pekee (Taifa Stars)
✓ Tungefahamishwa kabisa scouts wanao husika kutafuta hawa makocha ni hakina nani?
✓ Kama wapo huwa wanapewa vigezo na sifa zipi nikiwa na maana ya malengo ya timu tufike wapi?
✓ Kuna watu katika hiyo kamati wananufaika na fukuza fukuza na umekuwa mradi hivyo biashara ili iweze kukua inabidi swala lidumu?
✓ Tunafaidika na nini na fukuza fukuza kwa upande wetu wa maendeleo kwa timu yetu ya Taifa Stars?
✓ Huyu aliyefukuzwa ameshindwa nini na huyo anayekuja ana utofauti upi tutakapo mleta?
Kwa ujumla tuangalie sana haya maamuzi na tusiwe watu wa kukurupuka, badala ya kupiga hatua mbele zaidi tutajikuta tunarudi nyumba hatua nyingi bila kustuka.
Tutabaki watu wa kukuza Curriculum Vitae (CV) za hao makocha tunao wafukuza fukuza leo.
Nawasilisha Mzee Mkoloni
Cc: Kichwa Kichafu.