Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Wadau leo kuna fukuto kali balaa hapa jijini Dar
Yaani kuna lile joto la kusababisha kutokwa na jasho jingi sana kama vile upo shimoni
Kinachosababisha ni high humidity au unyevunyevu mwingi kwenye hewa
Sababu ya kuwa karibu na bahari ya Hindi
Humidity ya leo ni 81% wakati kikawaida inakuwa ni kati ya 50% hadi 60%
Yaani kuna lile joto la kusababisha kutokwa na jasho jingi sana kama vile upo shimoni
Kinachosababisha ni high humidity au unyevunyevu mwingi kwenye hewa
Sababu ya kuwa karibu na bahari ya Hindi
Humidity ya leo ni 81% wakati kikawaida inakuwa ni kati ya 50% hadi 60%