Fukuto kubwa laibuka Yanga; wachezaji wanyoosheana vidole, Canavaro amwambia Chirwa kaa kimya wataka kuzipiga

Unakosea sana sijaona kipya ndani ya simba
 
wachezaji walipewa nafasi ya kuongea lakini wakati wanaongea wengine wanaingilia kati matokeo yake wengine waliokuwa na pointi wakashindwa kuongea chocchote
 
Hivi ajibu anajisikiaje huko alipo
 
Mnatafuta kisingizio cha kufungwa na Azam? Tumewashtukia na hiyo kesho tutakuja uwanjani kuona nani ana bandeji usoni..
 
Ajibu alilenga kuikomoa Simba na menejimenti ya timu.Kwa kuwa mpira ni ajira kama ajira nyinginezo,tumuombee afanikiwe katika maisha yake ya soka.
 
Kwani Yanga walipochukua ubingwa, uongozi ulikuwa tofauti na huu uliopo sasa?

Vv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…