CHANANJA DYNASTY
JF-Expert Member
- Sep 14, 2024
- 772
- 1,121
unafiki ni ugonjwa mbaya na hatari sana, angalia sasa hadi wewe mwenyewe umejisahau unajifanyia unafiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaUnene umekuwa dili.
Mbona jengo lenyewe rangi ya CCM au landlord wenu ndo kawapa hayo masharti?
Watakuwa wanateka na chainsaw....kupunguza uzito kwa kuondoa baadhi yaviungo😅😅😅😅 shida watu watanenepa, wao watabadili aina ya magari.
Acha genga BAVICHA wanaingiaje hapo kwa mfano?Bavicha bhana 😂
Bado haijajulikana kwanini zimekuwa kivutio kwa kila mtu, na kutikisa soko la nguo haraka namna hii.
View attachment 3155133
Hapo labda waje Makumbusho nzimaBado haijajulikana kwanini zimekuwa kivutio kwa kila mtu, na kutikisa soko la nguo haraka namna hii.
View attachment 3155133
Hii siyo AI picture kweli?Bado haijajulikana kwanini zimekuwa kivutio kwa kila mtu, na kutikisa soko la nguo haraka namna hii.
View attachment 3155133
Mbona mgumu kuelewa?. Jeshi lenu ndo linaliteka raia!Sidhani kama ni yeye.
Inashangaza, pamoja na wadau kujitahidi kurekodi lile tukio ili angalau kuwarahisishia polisi...lakini mpaka leo kimya.
Jeshi letu la polisi hovyo sana.