Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Asante kwa TaarifaYanga ni ya CCM mkuu. Fahamu leo hivyo.
UbunifuKuvaa fulana ya Mwanasiasa ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili kwenye Tamasha la Soka la Yanga, imeshangaza wengi.
Bado haifahamiki lengo hasa la kuvaa hivyo, Maana kama ni kampeni za Uchaguzi mbona Muda wake bado? Halafu kama ni kampeni mbona viongozi wanaokula Nchini akiwemo RC Chalamila na MwanaFA hawakuvaa Fulana yenye picha y Rais?
Inashangaza sana!Picha ya Rais kuvaliwa na mvuta bangi nalo ni tatzo, maana anapotoa Moshi unaweza kumchanganya RAIS.
Mmmh wanalipwa vizurUbunifu
Raisi ni Wa WotePicha ya Rais kuvaliwa na mvuta bangi nalo ni tatzo, maana anapotoa Moshi unaweza kumchanganya RAIS.
Bado safari Ina vigingi hii chiefNdio maana mimi sijawahi kushabikia hayo ma Timu. CCM inayatumia hay matimu kama mtaji wa kuwapumbaza watanganyika na kuwatawala milele
Yesu....🤔Ubunifu
Pia inasikitisha sanaInashangaza sana!
Jamani sasa si raisi wa nchi kuna tatizo gani msanii akivaa embu acheni hizoKuvaa fulana ya Mwanasiasa ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili kwenye Tamasha la Soka la Yanga, imeshangaza wengi.
Bado haifahamiki lengo hasa la kuvaa hivyo, Maana kama ni kampeni za Uchaguzi mbona Muda wake bado? Halafu kama ni kampeni mbona viongozi wanaokula Nchini akiwemo RC Chalamila na MwanaFA hawakuvaa Fulana yenye picha y Rais?
Iko wap mkuu......?Kuvaa fulana ya Mwanasiasa ambaye hajawahi hata kupiga danadana mbili kwenye Tamasha la Soka la Yanga, imeshangaza wengi.
Bado haifahamiki lengo hasa la kuvaa hivyo, Maana kama ni kampeni za Uchaguzi mbona Muda wake bado? Halafu kama ni kampeni mbona viongozi wanaokula Nchini akiwemo RC Chalamila na MwanaFA hawakuvaa Fulana yenye picha y Rais?
Waitaka😂kwioIko wap mkuu......?
Tuna safari ndefu SanaPia inasikitisha sana
😅Yesu....🤔
Usiondoke JFIko wap mkuu......?
Kuhama hakunaUsiondoke JF