Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
Sawa asante mkuu.Nakushauri fika hospital utaapta majibu sahihi ikiwem ushaur w kipimo gan ukifanye
Haahah siend tipdTulia upate SMS, mapema yote ushaanza papara PDF litakuja.
Andaaa 50k
Haya bnHaahah siend tipd
Mbona Hela nyingi sanaLaki 7 inatosha mkuu ukienda indumandali Cc ephen_
Pesa ndogo Sana hiyo Mkuu Cc ephen_
Kaka si kasema full bodyMbona Hela nyingi sana
πππππππππaandae laki nane! si full body wampime na ubongo kama ubongo haupo sawa wanamng'ang'ania hukohuko asije akaleta tabu mtaani!
teana andaa million kabisa unaelewa maana ya full body check up..? inatakiwa wakupime hadi ngozi,ini,figo,mapafu,kongosho, sukari, uzazi,bichwa n.kMbona Hela nyingi sana
Mi najuaga damu, mkojo, choo na ultrasound sidhani kama itazidi 100k gavooKaka si kasema full body
Mengine tafanya taratibu Sasa mi saivi nipime kongosho Kwa sababu Gani?teana andaa million kabisa unaelewa maana ya full body check up..? inatakiwa wakupime hadi ngozi,ini,figo,mapafu,kongosho, sukari, uzazi,bichwa n.k
kwahiyo unaidharau sukari...??Mengine tafanya taratibu Sasa mi saivi nipime kongosho Kwa sababu Gani?