Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
- Thread starter
- #21
Ach hizo mkuu, sna waya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ach hizo mkuu, sna waya
Nlivokua kinda hayo yalikua magonjwa ya watu wakubwa siku hata vijana wanauguakwahiyo unaidharau sukari...??
Kuna dogo ana miaka 13 hapa mtaani kwangu anayo hiyoNlivokua kinda hayo yalikua magonjwa ya watu wakubwa siku hata vijana wanaugua
sasahivi hali imetapanyika magonjwa hayachagui!Nlivokua kinda hayo yalikua magonjwa ya watu wakubwa siku hata vijana wanaugua
Azingatie ushauri wa kitabibu atumie dawa vizuri Mungu atamsaidiaKuna dogo ana miaka 13 hapa mtaani kwangu anayo hiyo
Common ilikua malaria na typhoid Kwa sehemu ndogo ila siku hizi Kuna UTIsasahivi hali imetapanyika magonjwa hayachagui!
Hapo namba 1, moyo na kifua.Inategemeana na vipimo utakavyotumia,mfano unaweza fanya check up ya
1.moyo,kifua,kichwa & mgongo kwa MRI Hapo andaa 700,000-800,000
2.fanya vipimo vya figo,ini,bandama-300,000
3.fanya vipimo vya magonjwa ya ndani,koo,tumbo,utumbo,kongosho-400,000
4.fanya vipimo vya mifupa ya mikono na miguu kwa CT scan hapo andaa kama 600,000
5.fanya vipimo vya milango ya fahamu,mdomo,pua,masikio, andaa 300,000
6.fanya vipimo vya macho-200,000
7.fanya vipimo vya cell na damu-300,000
8.fanyq vipimo vya ngozi-200,000
Bado dawa na mengineyo
Usidhani watu hawapendi kufanya check upa,matibabu ni issue Duniani kote kama huna pesa.
Inshallah kaka Cc ephen_Azingatie ushauri wa kitabibu atumie dawa vizuri Mungu atamsaidia
Inshallah kaka Cc ephen_Azingatie ushauri wa kitabibu atumie dawa vizuri Mungu atamsaidia
sasa hata paracetamol huzijui? kwamba hayo maumivu yana muda gani? si tuliambiana sisi waafrica hasa tanzania tunaishi na kuyazoea magonjwa refer covid mbona mmeanza kuasi kambi na hamsemi
Atoe laki 7Umetoa ushauri Gani kama Dr Uchwaa
unaniandikia miherufi mikubwa kubwa nimekuambia mimi ni kipofu sioni? kwa nn unanifokea?Na hiki ndio kinachotumaliza, maumivu kidogo unaanza kujitandika madawa ya maumivi bila vipimo wala ushauri wa daktari. Vifo vya ghafla vimekuwa vingi. Maumivu kwenye kifua yanaweza kuwa ni matatizo ya moyo. Meza paracetamol ufe kifo cha ghafla.
Tuheshimu taaluma za watu waliokaa darasani kusoma na kufanya tafiti.
unaniandikia miherufi mikubwa kubwa nimekuambia mimi ni kipofu sioni? kwa nn unanifokea?