TV4Sale Full HD brand new 32Inch TV kwa 345,000 Tu(Qled)

TV4Sale Full HD brand new 32Inch TV kwa 345,000 Tu(Qled)

Mkuu usipanick me nauliza kwakuwa najua biashara za mitandaoni zilivo na pia tunalitumia vibaya neno "MPYA" huwezi kujua kitu kama ni kipya kwa kuangalia picha yake au sura yake maana Kila mtu ana matumizi yake, wengine ni watunzaji wazuri na wengine sio watunzaji wazuri

Ulitakiwa uweke details zenye kueleweka ili kupunguza maswali ambayo unaona hayana maana, ukisema mpya kabisa unamaanisha nini? Sema imetumika kwa muda gani na iko katika hali gani, me nataka TV ndomana nataka kabla hujanitumia picha huko Whatsapp niwe nimeridhika na details zako, hadi kufikia hatua ya kuja Whatsapp niwe nishafanya maamuzi

Nilikuwa nauliza ili nijiridhishe juu ya maamuzi yangu, nimepata sehemu hiyo tv ikiuzwa 650000 so Kama mteja nilikuwa nataka kujua kama hiyo 570000 it's worth ili nisave some amount

kwahiyo Mkuu hauna haja ya kupanick na kuita watu sio wanunuzi eti kisa tu we unataka mteja aende unavotaka wewe, we weka details za kutosha na kupitia hizo details ndio mteja atahitaji picha za bidhaa km ataridhika, picha haiwezi kutoa jibu kitu kimetumika kwa muda gani ispokuwa ni maelezo yako
Tatzo watu wengi mnapenda biashara yenye maneno neno ambayo mengi ni ya uongo,,umepewa details zote tangu mwanzo wa tangazo na ukaambiwa imetumika miezi kadhaa,,bado unarudia BADO MPYA AU IMETUMIKA SASA UAMBIWEJE,,na unaambiwa mpya laki nane,bado hauelewi na kibaya zaid unaambiwa nenda kwenye contact uelweshwe bado unaleta siasa,,sasa usaidiweje,,huoni hata hiyo ya 650000 utakua umemchosha jamaa ndo maana hamjafanya biashara,,subir itakuja ya laki tatu yenye hiyo details za hivyohivyo,,ndo maana nimekwambia ur not serious buyer,,
 
Ninayo Sundar inch 43,full HD,smart tv,double screen,,ina Hotspot na Manicast, bei nzur 570000 tu,, kabisa bado mpyaaaa,,pia kuna dish na decoder ya Azam bei sawa na bure 110000

Mawasiliano na maelezo zaidi piga 0621047159
Unajua mkuu unaongea Sana alafu sioni hoja kwenye maneno yako, hebu nioneshe hapo kwenye tangazo lako ni wapi ulisema kama imetumika miez 2? Habari ya kutumia miez 2 si umekuja kusema baada ya mie kuuliza kama ni mpya au used yenye condition nzuri?

Na kuhusu huyo jamaa wa 650000 mind you hatujashindwana tatizo we mgumu kuelewa, nimekwambia nilitaka kuangalia kama nitasave some amount kama nikifanya biashara na wewe, Kama ilivo kwa mteja yoyote yule, anapoona kitu anataka kuuziwa bei kubwa na akatokea muuzaji mwingine mwenye bei rafiki zaidi lazima mteja uwe interested ndo kilichokutokea hapa

Me ushauri wangu tu, sio usubiri hadi mtu aulize maswali eti ndo ukumbuke kupiga picha bidhaa yako,sio hadi mtu aulize maswali ndio ukumbuke kusema bidhaa yako imetumika kwa muda gani, me ni mteja naweza kununua bidhaa kwa muuzaji yoyote yule kama nikiridhika, ila wewe ni muuzaji huwezi kumuuzia mteja yoyote bidhaa kama hajaridhika, Jua kutofautisha. Best of luck brother
 
Unajua mkuu unaongea Sana alafu sioni hoja kwenye maneno yako, hebu nioneshe hapo kwenye tangazo lako ni wapi ulisema kama imetumika miez 2? Habari ya kutumia miez 2 si umekuja kusema baada ya mie kuuliza kama ni mpya au used yenye condition nzuri?

Na kuhusu huyo jamaa wa 650000 mind you hatujashindwana tatizo we mgumu kuelewa, nimekwambia nilitaka kuangalia kama nitasave some amount kama nikifanya biashara na wewe, Kama ilivo kwa mteja yoyote yule, anapoona kitu anataka kuuziwa bei kubwa na akatokea muuzaji mwingine mwenye bei rafiki zaidi lazima mteja uwe interested ndo kilichokutokea hapa

Me ushauri wangu tu, sio usubiri hadi mtu aulize maswali eti ndo ukumbuke kupiga picha bidhaa yako,sio hadi mtu aulize maswali ndio ukumbuke kusema bidhaa yako imetumika kwa muda gani, me ni mteja naweza kununua bidhaa kwa muuzaji yoyote yule kama nikiridhika, ila wewe ni muuzaji huwezi kumuuzia mteja yoyote bidhaa kama hajaridhika, Jua kutofautisha. Best of luck brother
Blah blah blah blah blah
Toka niijue jf miaka na siku zote kwenye post ya biashara wote wanaocomment sio wanunuzi abadan,wanakua wanafurahisha au kujifurahisha tu.
Potential customer hua wanapiga simu atauliza anachouliza anaweza akanunua au asinunue lakini mmewasiliana kuliko kubwabwaja kwenye comment.
Source:nina experience na kufanya biashara jf zaidi ya miaka 8
 
Blah blah blah blah blah
Toka niijue jf miaka na siku zote kwenye post ya biashara wote wanaocomment sio wanunuzi abadan,wanakua wanafurahisha au kujifurahisha tu.
Potential customer hua wanapiga simu atauliza anachouliza anaweza akanunua au asinunue lakini mmewasiliana kuliko kubwabwaja kwenye comment.
Source:nina experience na kufanya biashara jf zaidi ya miaka 8
Pamoja mkuu hongera kwa uzoefu ulionao
 
NIMEPUNGUZA BEI YA TOP KWA FLAT TV,,,

bei niliyoamua kuuza Cash na top ni 480000/ tv,,kutoka 600k,,hii ni kutokana na kuona changamoto cha watu kuwa na upungufu wa pesa,

Natoa tv kama bure,,mwenye mahitaji ya kuwahi ndio atachukua,,maelezo sitaki niyarudie,,soma comments za jana utaona ni tv ipi,,
Kifupi ni ile Sundar tv inch 43,smart tv,LED tv yenye double screen,,
Mawasiliano pia yapo kwenye comments za juu,wa kwanza ndo atachukua sitak kuchelewesha muda
 
Back
Top Bottom