mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
mimi nadhani angeanza MBOWE na wafuasi wake kukaa lockdown alafu na sisi tutafata..
Aanzishe mgomo na awaambie wafuasi wake kuwa hamna kutoka nje wakae lock down.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aanzishe mgomo na awaambie wafuasi wake kuwa hamna kutoka nje wakae lock down.
China wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa just by lock down.
Lock down yao imedumu almost two month.
Leo hii wanafungua mji baada ya maambukizi kupungua kwa asilimia kubwa sana.
Wasingejiweka lockdown hali ingekuwa mbaya zaid kuliko walivyotangaza mwanzo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app