Full Text: Hotuba ya Rais Samia Suluhu ya kufunga mwaka 2021. Kirusi kipya cha Corona cha Omicron kimeshaingia Nchini Tanzania

Yule maza anaogopa hata kutaja neno katiba mpya, akijaribu hata kutaja moyo wake unakwenda mbio kwa woga.

Hotuba nzima imejaa marudio ya zile blah blah zake za uviko, ujenzi wa madarasa, Twiga stars nk.

Inachosha mnoo.
katiba mpya sio suluhu ya matatizo ya watanzania labda ya viongozie wenye uchu wa madaraka
 
Ngoja niende Ibadani kwanza
 
..Ssh kafunikwa na Tl.

..na waliomuandikia hotuba wamemuangusha.

..inakuwaje ofisi ya Raisi inashindwa na mtu mmoja kuandika hotuba?
 
Kumbe amehutubia, lini, wapi na saa ngapi jamani, home ya dar kiboko, hujui hata yanatoendelea nchini[emoji848]
 
Unasema hana uwezo wa kuwa Rais wakati ndiye Rais na anatuongoza. Endeleeni kujitia vidole matakoni, mtakutana na mnachokitaka
 
Hutuba kama haijazungumzia kuhusu uharibifu wa jiwe, inakuwa haija kamilika.
 
Watz nn lkn mnamfungia mazaa mwaka vby lkn c mngevunga tu kdg kuufunga mwaka. Mwandishi kajipinda kuwahabarisha nae mnamkata ngebe khaaah [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…