Full Text: Hotuba ya Rais Samia Suluhu ya kufunga mwaka 2021. Kirusi kipya cha Corona cha Omicron kimeshaingia Nchini Tanzania



Daa hotuba imepangiliwa, na imevunjilia mbali kanuni #1
 
Zile hela za kovid wangezichepusha kwenye pembejeo za kilimo. Madarasa yangejengwa kwa kutumia tozo.
Aiseh hili wazo unaweza lipeleka ukweni kama lilivyo ukapewa wife material for free
Jaman hii nchi inatupasa tubadilike
Hakuna mjomba wa kutusaidia hapa lazima tufikirie sawasawa kutoka kwenye changamoto zetu
Hizi blaa blaaa zetu hazitusaidiii au sijui ndio maana unaitwa waswahili
 
Wekeni ya maandishi huu Utopolo watasubiri sana. Oooh sana
 
Ipo haja ya kuboresha hotuba za Rais.

Haziaddress issues muhimu za Kitaifa.

Mambo mengi yamebakia bila conclusion.
 
“Tumeweza kuifungua nchi yetu kwenye uwanda mpana wa ushirikiano na uhusiano na kutuwezesha kuimarisha sauti yetu na ushawishi wetu kimataifa” - Rais Samia Suluhu Hassan

#HotubaYaKufungaMwaka2021
#NyukiwaMama
#mamayukokazini
#KaziIendelee

 
“Nitumie fursa hii kuwahimiza wananchi kupata chanjo dhidi ya uviko 19, natambua kuwa chanjo haizuii mtu kupata maambukizi ila inapunguza makali ya ugonjwa huu, hivyo niwahimize wananchi kwenda kuchanja, chanjo zipo na zinapatikana bila malipo” - Rais Samia Suluhu Hassan

#HotubaYaKufungaMwaka2021
#NyukiWaMama
#MamaYukoKazini
#KaziIendelee
#SamiaKazini

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…