Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Mpaka hapa tumepiga hatua kitendo cha kusomwa tu
 
kamati imebaini kuwa pesa yote ilikuwa ni ya umma. Ubishi wote kwisha

The Listener
Ex Detective
 
mbunge machachari wa bunge la JMT.anaendelea kuchambua ripoti ya PAC kuhusu akaunt ya tegeta escrow.kipi kitafuata baada taarifa hiyo
 
Pesa ni za Umma kwani kuna pesa za Tanesco,na pesa za TRA
 
Leo kinaeleweka Zito anaendelea kunguruma na kutaja watu ambao hwakuwa sahihi wakiwemo Muhongo na mwanasheria mkuu wa serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…