Chenge ni mwepesi kama pamba, akisogezwa mahakamani anaweza kumalizia maisha yake yaliyobaki gerezani. Lakini, nani wa kumsogeza huko mahakamani?!Alishasema mwenye uwezo ampeleke mahakamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chenge ni mwepesi kama pamba, akisogezwa mahakamani anaweza kumalizia maisha yake yaliyobaki gerezani. Lakini, nani wa kumsogeza huko mahakamani?!Alishasema mwenye uwezo ampeleke mahakamani.
Magufuli kafika mahali amegota, kama kweli alikuwa na nia ya kuwakomboa watanzania basi acheze kama Putin. 2020 akagombee ubunge Chato amwachie Dokta urais. Rekebisha katiba ili waziri mkuu awe makamu wa rais kutupunguzia utitiri wa viongozi wasio na tija.Naamini kuwa serikali inamwogopa Chenge. Huyu Chenge a.k.a nyoka wa makengeza alipiga hela za rada akaficha visiwa vya new jersy hata serikali ilipojua ikagwaya. Kapiga za Escrow hata akatangaza kuwa bil.1.6 ni vijisent tu bado serikali imegwaya. Hata kwenye upelelezi hayumo. Namwomba namba moja amsweke ndani au awaachie wote walioko mahabusu.
Updates zijazwe hapa.
Karibuni watanzania