umeona eh?Hivi kwanini wasichana na wanawake warembo wanapenda kushabikia matimu mabovu kama Yanga?
Ulikuwa hujui?? Yani wasichana warembo kama wavulana wao...
Leo maiti imlalia mwoshaji. Hatari sanaKila la Kheri kwa Timu yangu pendwa hapa Tanzania.
Mimi sio mtu mzima tu. Mimi ni babu yako... Kama una mashaka kamuulize bibi yako.Nina shaka na umri wako....Na kama ni mtu mzima basi kuna tatizo mahali...
Njombe ni kama Toto Africa. Afadhari Coastal Union imepanda daraja.