Pole mkuuRefa maliza mpira, sina vidonge vya pressure mie..!
Usijifiche Yanga bado wanaongoza na matumaini ni kwamba watashinda huu mchezo. All the best watani wa jadiNmejificha tangu dakika ya 60 wallah
Msije kushangaa Dube anafunga dakika za jioni.Dube ni mchezaji hewa
86 bado 1-0Dk y ngap mazee
Nmetok nje nkae kwenye gar
Tumbo joto
87 mkuu tuombe Mungu ! Hizi za nyongeza ndo huwa zina mabalaaDk y ngap mazee
Nmetok nje nkae kwenye gar
Tumbo joto