Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Anadharau mnoo wanajiona kama BarcaNimefurahi sana hawa wanywa ukwaju kunyooshwa msemaji wao ana nyodo sana
Mi sikuliona...ila jamanii huyo kijana wa kizanjibari.... sasa ndo nini hahaaaShida ilianza kwenye lile uno la fei
Shangazi habari yako
Nikupe maji?π€Kiukweli kabisa, YANGA ndiyo timu bora kwa Tanzanka kwa sasa dhidi ya timu yoyote tena by miles. Hawa jamaa hata kama ni mpinzani yes Inauma but wanavutia sana kuwatizama.
Fairs πβ¨οΈ
Acha wagongwe tu maana wanajipna wakubwaAnadharau mnoo wanajiona kama Barca
Unaumia ukiwa wapi rafikiπYanga ni wepesi sana...hao Azam wamejaa urojo...
Hii kauli tata...utapigwa mbata...πππππNikupe maji?π€
Anapenda kutukeraaπ₯²Mi sikuliona...ila jamanii huyo kijana wa kizanjibari.... sasa ndo nini hahaaa
Kumbe video uliiona!πHii kauli tata...utapigwa mbata...πππππ
alikata mauno kisawa sawaMi sikuliona...ila jamanii huyo kijana wa kizanjibari.... sasa ndo nini hahaaa
Umepotea mnooo....duuh au ndo utu uzima dawa rfkk...Unaumia ukiwa wapi rafikiπ
Sijaiona bana n sitaki ila kuna watu naona inawakwaza...Kumbe video uliiona!π