Full Time: Azam FC 1- 4 Yanga SC | Community Shield | Final | Benjamin Mkapa Stadium | 11/08/2024

Full Time: Azam FC 1- 4 Yanga SC | Community Shield | Final | Benjamin Mkapa Stadium | 11/08/2024

Hatuji tena kwenye mechi za Yanga, hatuji tena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Makolo wamegombea nafasi ya 3, wee huogopi?
Hao nafasi ya 3 ilishawaganda tangu mda, ligi nafasi ya 3, huku nafasi ya 3 😂

Itabidi iitwe Tatu fc
 
Nani mwingine anafata?
20240809_155223.jpeg
 
Yaan yanga kama yanga walitaka kuishia 2 kwa moja

Ila ile dharau ya feitoto kukata mauno woiii yanga wakaona

Huyu mbwa ngoja tum.nyooshe

Bnafsi uongozi wa azam msaidien huyu ajifhnze else mtakuwa mnakula 4 mpaka 7 kwa Yanga
 
Back
Top Bottom