Kama Yusuf dabo angeanza na formation hii ya 4-5-1 basi angesumbuana na yanga kimtindo.Kabisa
Jf tumewapisha kizazi cha afu mbili...ma sinia tutulizaneUmepotea mnooo....duuh au ndo utu uzima dawa rfkk...
Mi nachangamsha genge tuuu
Mi ni sinia ila nipo humu humu tuu..😃😃😃Jf tumewapisha kizazi cha afu mbili...ma sinia tutulizane
Kama ungekuwa hauna damu tungekuchangia, hauna akili timamu there is no hope.Yanga ni wepesi sana...hao Azam wamejaa urojo...