Simba walibebwaaa sanaaaaaaHii sasa sifa, hiki kipigo waliandaliwa Simba kama siyo kubebwa na refa.
Lamba lamba wauwawe😅😅😅😅 hatutaki dharau ndogo ndogo za watu wa TazaraIla Chamaaaaa..... pigaaaaaa hao.
Yaani Kolo FC bila refa na wae washika vibendera nao wagekula kama hizi walizo kula wenzao,Shubaaaaaaaaamiiiiiitiiiiii.....
Rafiki kuna siku anatufurahisha sana yaani. 😅
Assist safi kabisaa😅🔰🔰🔰 wazee wa Yanga wapewe timu ya taifaaTunawakumbusha tu, ni mzee Chama ndiye aliyetoa assist.
Mdakuzi