Dogo alijiona kashinda kumbe kaingia kwenye kumi nane za WananchiFeisali mpaka aombe Maaajiiiiii
Ndio ubingwa wenu pekee mtakaobakia nao msimu huu ...FULL TIME
YANGA 4
AZAM 1
YOUNG AFRICANS NI MABINGWA WA NGAO YA JAMII 2024/2025
Ukifanya masihala ww hata ngao msimu ujao hushiriki.Ndio kombe lenu pekee mtakalobakia nalo msimu huu ...
DeletedHuu msemo tujaribu kuuepuka, baadhi yetu unatugusa
[emoji23][emoji23]SawaNdio ubingwa wenu pekee mtakalobakia nalo msimu huu ...
Unateseka ukiwa wapi?Congrafucktulation
Kama nilivyotabiriYanga watachomoa na kushinda
Duh, kweli ogopa mungu na teknolojia, mara hii, hii picha mshainyakua 😂🤣,