Pesa za Simba walizowekeza kipindi kile cha AFL ndiyo zilienda kufufua hizo spika.Sasa hivi maDj wa Lupaso halftime ikifika wanatuwekea tu Masela huyo Mtotoooooooooooooooo kinaamka ππ€£ππππππππππππππππππππππ Cc ephen_
Pesa za Simba walizowekeza kipindi kile cha AFL ndiyo zilienda kufufua hizo spika.
Nani huyoooo?πππ
π€£ππ€£π€£π€£ππ Shabiki wa AzamNani huyoooo?πππ
Nimelia sanaaa badala yakeππ€£ππ€£π€£π€£ππ Shabiki wa Azam
π€£ππππNimelia sanaaa badala yakeπ
Hivi vilabu viangalie haya majina watakuja kuvunja mahusiano ya watu, pressure ilishanipanda!Azam wamepoteza umbo lao kabisa, namna hii wangekutana na akina Deborah Fernandes kwenye ubora wao, wangeshakula kumi saa hizi.
Ova
Nasubiria CAFCL ianze niwe na kitambiW.end iniasha kibabe sana totooππππππ
Fei haamini macho yakeView attachment 3067304
ππππππ
Cameraman ana tabia mbayaaππView attachment 3067304
ππππππ
Jipeni muda nyinyi makolo chama ni bonge la asset. Umeona Gali la nneArudi Simba kufanya nini?
Kipindi chake cha kuwika ndio kimeisha hivyo!! Hakuna namna tena sasa
Bwege sana yulekumbe kakata mauno? mtoto mayai ya pweza yule
Ni Nani huyu?Duh, kweli ogopa mungu na teknolojia, mara hii, hii picha mshainyakua ππ€£,
Umelipenda uno urojo nini πππ€£π€£π€£π€£π€£