Full time Bayern munchen 0:3 liverpool

Full time Bayern munchen 0:3 liverpool

Punguza wenge leo ndio mwisho wa liverpool

Pambaneni na gardiola mapema la sivyo huu msimu mtaambilia patupu

Fa out
Callabao out

Eefa out

Sasa mtachukua nin liverfool mwaka huu

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuwawangia Liverpool

Wote wanaotabiri matokeo humu huwa yanakuwa kinyume chake ,

Sasa wewe naona asubuhi tayari unawawangia liverpool

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama walishindwa kufurukuta hapo kwao wataweza ugenini usije kufikiri hao ni PSG wa Man yuu nadhani cholo unajua nini kimempata pamoja na kwamba alikuwa anaongoza goli mbili, wengine nyumbani hawafanyi ujinga
Ft Bayern 2 - 0 Liverpool

Bado mnateseka au mmekubali kushindwa???
 
Walikutana hatua ya 16 bora, msimu wa 2006/2007 Barcelona akiwa ametoka kunyanyua kwapa. Nou Camp Liverpool alishinda 2 kwa 1, anfield Barcelona alishinda 1 bila. Liverpool alisonga mbele kwa faida ya bao la ugenini. Na msimu huo, Liverpool alifika fainali na AC Milan akapigwa 2 kwa 1.

Sawa, ila King wa dunia alikuwa bado hajaingia nou camp....dis time naombea wakutane aise
 
Sawa, ila King wa dunia alikuwa bado hajaingia nou camp....dis time naombea wakutane aise
Nimejifunza mambo mawili, ama umezaliwa kwenye 90s ama 20s, au kama ni wa kabla ya miaka hiyo, basi ulianza kushabikia mpira baada ya Messi kung'ara zaidi(kuanzia 2009).
 
Nimejifunza mambo mawili, ama umezaliwa kwenye 90s ama 20s, au kama ni wa kabla ya miaka hiyo, basi ulianza kushabikia mpira baada ya Messi kung'ara zaidi(kuanzia 2009).

Hoja yako haina mashiko... kwahiyo yeyote anaemkubali Messi atakuwa kazaliwa 90 kwenda juu sio! Akina edo kumwembe,shaffi dauda nao wamezaliwa kwenye 90 sio!

Binafsi Nimewafuatilia akina zizu, de lima, requelme,gaucho n.k LIVE but sijaona hata mmoja aliyemfikia Messi....ukija kwa Diego na Pele ambao nimewafuatilia you tube bdo sijaona wakuwalinganisha na Messi....So acha kuwa na "DHANA" na usifikiri kila anaemkubali Messi basi mdogo kiumri au ameanza kushabikia juzi tu...laa hasha!
 
Hoja yako haina mashiko... kwahiyo yeyote anaemkubali Messi atakuwa kazaliwa 90 kwenda juu sio! Akina edo kumwembe,shaffi dauda nao wamezaliwa kwenye 90 sio!

Binafsi Nimewafuatilia akina zizu, de lima, requelme,gaucho n.k LIVE but sijaona hata mmoja aliyemfikia Messi....ukija kwa Diego na Pele ambao nimewafuatilia you tube bdo sijaona wakuwalinganisha na Messi....So acha kuwa na "DHANA" na usifikiri kila anaemkubali Messi basi mdogo kiumri au ameanza kushabikia juzi tu...laa hasha!
Sikumaanisha hivyo, Bali uliposema Messi katika kumbukumbu nipiyoitoa ya msimu wa 2006/2007, wewe ukasema Messi alikuwa hajaingia Camp Nou ndipo nami nikakwambia nilivyokwambia. Maana Messi katika msimu wa 2006/2007 tayari alikuwa ameshaanza kukinukisha pale Barcelona.
 
Sikumaanisha hivyo, Bali uliposema Messi katika kumbukumbu nipiyoitoa ya msimu wa 2006/2007, wewe ukasema Messi alikuwa hajaingia Camp Nou ndipo nami nikakwambia nilivyokwambia. Maana Messi katika msimu wa 2006/2007 tayari alikuwa ameshaanza kukinukisha pale Barcelona.

Nikweli ilikuwa 21/feb/2007, Barca 1-2 Liv....na gaucho pia alikuwemo
 
Back
Top Bottom