NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Mechi ngumu sana lakini Wananchi wamepambana mpaka mwisho, KMKM ni wazuri sana chini ya Kocha Hemed Morocco lakini hawakuweza kuwa wababe mbele ya Wananchi, alama tatu kwao.
Sio timu tu kutoka Zanzibar, Ni KMKM, mabingwa wa ligi ya Zanzibar tuliowashinda tena kwa kikosi cha pili, hii ndio maana halisi ya kikosi kipana.
1. Yacouba Sogne anatia matumaini ya kurudi kwenye kiwango chake. Hivyo kwa faida pia ya Azizi Kii, angebakishwa
2. Mudathir...aisee, kaifanya timu iwe kwenye form kwa dakika chache alizocheza, pongezi kwa usajili wake.
3. Ambundo aongeze bidii, kakosa nafasi nyingi za wazi, kwa kifupi kazingua ila tumeamua kumvumilia baada ya kutupooza hasira kwa goli pekee alilofunga.
4. Kambole apewe tu mkono wa kwa heri, ni mzito kupitiliza huenda pia umri umemtupa! Kiufupi hawezi kuwa na msaada wowote ule kwenye timu, katika hili, siwezi kuwa mnafiki.
Boss hukawiaga kula ila halalag na njaaa.
Sio timu tu kutoka Zanzibar, Ni KMKM, mabingwa wa ligi ya Zanzibar tuliowashinda tena kwa kikosi cha pili, hii ndio maana halisi ya kikosi kipana.
1. Yacouba Sogne anatia matumaini ya kurudi kwenye kiwango chake. Hivyo kwa faida pia ya Azizi Kii, angebakishwa
2. Mudathir...aisee, kaifanya timu iwe kwenye form kwa dakika chache alizocheza, pongezi kwa usajili wake.
3. Ambundo aongeze bidii, kakosa nafasi nyingi za wazi, kwa kifupi kazingua ila tumeamua kumvumilia baada ya kutupooza hasira kwa goli pekee alilofunga.
4. Kambole apewe tu mkono wa kwa heri, ni mzito kupitiliza huenda pia umri umemtupa! Kiufupi hawezi kuwa na msaada wowote ule kwenye timu, katika hili, siwezi kuwa mnafiki.
Boss hukawiaga kula ila halalag na njaaa.