Full Time: Simba 0-2 Yanga Taifa 26/9/2015

hii mifala inaosikiliza mpira huku mnaangalia kwenye TV ,inakera mno.
wanashangilia wakati goli bado
 
Simba kimyaaaa!Leo ni leo dadadeki.
Nasubiri goli lingine moja kama kuna zaidi kheri tu.
 
jana usiku nilisikia baadhi ya vituo vya radio vilikuwa vinalalamika viongozi wa Yanga walikuwa wanakwepa kuongea na media. watangazaji waliita hii ni hofu - kutokujiamini. na mimi nakubaliana nao.

sasa hata humu naona wana Yanga (haswa wale tunaowajua) wanachungulia tu hawatoi comments zozote.

kuna mazingira Yanga wamejitengenezea wenyewe ya kushindwa na nina wasiwasi hii mood inaweza ikawaambukiza wachezaji kwenye pitch.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…