Full Time: Simba 0-2 Yanga Taifa 26/9/2015

Mods ebu toeni huu uzi, ushapitwa na wakati, kama taifa tuna mambo ya msingi ya kufanya sio watu wako bize kupoteza muda humu!

Sheria ya JF inaruhusu kuomba ban upumzike ,wasiliana na mod watakusaidia
 
Kwa mpira upi? ile butua butua? Yanga hawana mpira, huo ndo ukweli! Mpira wao hauvutii HATA kidogo!

Mkuu usijitoe ufahamu, wenzako wameukubali mziki wa Yanga; Azam, Coastal Union, Prisons, JKT Ruvu na Simba wenyewe wote wanaujua mziki wa Yanga isipokuwa wewe tu! Kumbuka mchezo wa mpira ni magoli na siyo chenga wala pasi.
 
Dah! Anyway, tulokwazika leo tutafurahi trh 26 Oktoba, na tulofurahi leo tatakwazika trh 26 Oktoba. Ole wenu mtaokwazika leo na trh 26 Oktoba.
 

Attachments

  • Malimi for Change.jpg
    9.8 KB · Views: 329
Last edited by a moderator:
Wamchangani FC
 

Attachments

  • 1443349307263.jpg
    39.4 KB · Views: 179
Hahahahaa. Ninafuraha ya ajabu. Simba walichongaaaa
 
Sio kwa video hiii...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…