Wanacheza as if wqnongoza Kwa goli nyingiIt is not supposed to be a draw. Wachezaji wapuuzi
Afu mtu anahimiza watu wajae uwanjani 😀😀😀Kwa huu mpira bora tusihie makundi tusiende tia aibu huko mbele
Tupeni Side Mjerumani 🤣 🤣Simba tafuteni kocha...
Huyu FADLU hamna kitu.
Watafute wachezajiSimba tafuteni kocha...
Huyu FADLU hamna kitu.
Kwani Nafasi ya Pili anaenda wapi??Alafu mtaenda wapi we Debora FC?😀😀😀😀
Yanga ana timu imeshuka ila angalau unaona structure yao na naamini anavukaUto ndio watsishia makundi
Tuko nafasi ya Pili tukiwa na Point 4 Nyie mna Point ngapi na Mko nafasi ya NgapiAlafu mtaenda wapi we Debora FC?😀😀😀😀
iyo 4 umeandika kwa kujiamini kama Sio nafasi ya mwisho iviNafasi ya 4