moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 142,674
- 743,909
Kazini kwa Zimbwe kuna kazi ngumu.Uyo mtoto aliyempokea zibwe kipindi cha pili anawaga maji Sio.poaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazini kwa Zimbwe kuna kazi ngumu.Uyo mtoto aliyempokea zibwe kipindi cha pili anawaga maji Sio.poaaa
Mpumbavu ni wewe ambaye unadhani a game in hand ni pointi 3 tayari.Pointi hazihesabiwi ni zako mpaka ushinde hiyo game in hand.Inaweza ikawa pointi 1 au hata sifuri. Ukidraw au kufungwa.Kubishana na watu wapumbavu ni mzigo sana. Angalia; hiyo tebo uliyoleta inaonyesha kuwa Timu yako imeshacheza michezo 11 na ina point 19 wakati timu unayoponga imecheza michezo 10 na ina point 17 yaani tofauti ya point mbili tu wakati mchezo mmoja una point tatu. Mpaka hapo hujaona udhaifu wa hoja yako?
Kumbe nawe umemuona.Unateseka sana mkuu
Pole yako 😂
Upumbavu wako unatokana na kukimbilia conclusions za haraka haraka badala ya kuwa cautious kulingana na msimamo.Mpumbavu ni wewe ambaye unadhani a game in hand ni pointi 3 tayari.Pointi hazihesabiwi ni zako mpaka ushinde hiyo game in hand.Inaweza ikawa pointi 1 au hata sifuri. Ukidraw au kufungwa.
Shule ulisomea ujinga?
Ndo mpambane sasa siyo kutoa povu mechi za simba....kufungwa wafungwe waarabu ndita mkunje nyie.Tunatoboa we tulia utaona usichokitegemea
😀😀😀Hawa jamaa usomaji wao huwa wanahesabu na points ambazo timu haijacheza,ndio maana sikuwashangaa walipodai TP Mazembe ana points 6 zao
Huu ndio uchawi sasaKuna watu wana imani kubwa sana, yaani wanaamini Simba mwenye points 6 sawa na wapinzani wake hataingia robo fainali ila Yanga mwenye point moja ndiye atatoboa!
🤣😂🤣😂🤣😂😂😂Batalokota Benyewe KunyavuNawatakia kipigo chema makolo.
Na hapo umejibu hoja au umedhihirisha tena upumbavu wako.Soma uelewe wacha kukariri kama kasuku.Upumbavu wako unatokana na kukimbilia conclusions za haraka haraka badala ya kuwa cautious kulingana na msimamo.
Mmebahatisha.Batalokota Benyewe Kunyavu
Bahatisha na wewe.Kacheze tatu mzuka.Mmebahatisha.
MUDA utajibu.Bahatisha na wewe.Kacheze tatu mzuka.
Kama imekuuma chomoa.Mwarabu wa Mkuranga umeumia kuliko mwarabu wa Tunisia.MUDA utajibu.
Wewe WasemaMmebahatisha.
Kwanini mkuu sisi wote waTanzaniaMAKOLO....WAPIGWE TU.....MAANA HAKUNA NAMNA