OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Joseverest ana reseat mitihani huko Tambaza,hatapatikana kwa sasaNgoja nikae siti ya mbele
Hahaaaaah!Joseverest ana reseat mitihani huko Tambaza,hatapatikana kwa sasa
Simba liniHabari ndiyo hiyo
Mpira umekwisha hapa CCM Namfua
Singida FC "ikitoka" kifua mbele kwa kutoa draw na Yanga
Ajibu, Shishimbi, Tambwe, Chirwa wooooote walikuwepo
Matokeo Mengine
Ndanda 0-Mtibwa 0
Kagera Sugar 1- Prison 1
Njombe 0- Mbao 0
Simba utatutaka mwaka huu
yanga bingwa msimu huu.niamini ndugu yangu yusuph M.Ndala FC, baada ya mechi kwisha 0-0, walishangilia kama ambavyo walifanya dhidi ya Simba uwanja wa Uhuru Dar?
Mechi na Mtibwa mlijidai hivi ila sote nimashahidi ya nini kilitokea."Ustukane mamba kabla.. ..." tutakuona ukienda Singida
Ungesubiri mvuke mto kesho ndiyo ndiyo uanze kuongea.Habari ndiyo hiyo
Mpira umekwisha hapa CCM Namfua
Singida FC "ikitoka" kifua mbele kwa kutoa draw na Yanga
Ajibu, Shishimbi, Tambwe, Chirwa wooooote walikuwepo
Matokeo Mengine
Ndanda 0-Mtibwa 0
Kagera Sugar 1- Prison 1
Njombe 0- Mbao 0
Simba utatutaka mwaka huu