uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,679
- 4,283
Chumaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
washazidiwa tayar hawawez kumaintain balance ile ile ya mwanzo na nd mara nyig ahly anawin apo anakuach uchoke kwanzaInaonekana kama vile Stade D'Abidjan wanaanza kuishiwa pumzi.
WeeeeOrlando kesho anatakiwa kushinda hana namna nje ya hapo anatupwa nje ya mashindano maana game yake ya mwisho anamalizia Cairo
Msimu ujao tunakachukua yanga,tutakua na ela ,maana ili kombe letuhaka kachalii ni balaa
SubutuuuMsimu ujao tunakachukua yanga,tutakua na ela ,maana ili kombe letu
nilisema ahly anapiga mtu tatu moja.AL AHLY piga hizo takataka goli 3 kwa moja.