Full time TZN U20 women imeshinda 2:0 dhidi ya Afrika kusini

Full time TZN U20 women imeshinda 2:0 dhidi ya Afrika kusini

Hivi kuna Academy yoyote inachukua watoto wa kike kwa ajili ya football?

Maana timu za wanaume zikipigwa tunasingizia wachezaji wakuokota,hawajapitia mtiririko rasmi.

Hiyo timu imepatikanaje?

Hongera kwao.
 
Hivi hawawezi kua Taifa star hawa,
Au wabadilishw jisia huenda wakatutoa aibu
 
PONGEZI KWA SERIKALI YA AWAMU YA TANO KWA KUFANIKISHA HILI.
 
Usije kushangaa hiyo simba inatoka mapema tu
Mwaka huu sidhani hata kwenye makundi wataingia. Sababu timu nyingi zinaijua kuwa ni timu iliyopata mafanikio last season. Kwa hiyo zitajiandaa zaidi ili kupambana na Simba. Watu wanaweza kuduwazwa kupitia mechi ya kwanza tu.
 
Hivi kuna Academy yoyote inachukua watoto wa kike kwa ajili ya football?

Maana timu za wanaume zikipigwa tunasingizia wachezaji wakuokota,hawajapitia mtiririko rasmi.

Hiyo timu imepatikanaje?

Hongera kwao.

Mbali tu na academy ya timu za wanawake! je kuna ligi ya under 17 ya wanawake?


kama ligi tu yenyewe hamna ndio pawepo na academy!

Wachezaji wa kuokota okota mitaani hao hao ndio tutawategemea siku zote.
 
Back
Top Bottom