Full Time Yanga 1 - Mc alg. 0

Mimi ni mshabiki wa Simba lakini niseme ukweli kuwa
Leo Raaaaaha sana, tumewakalisha waarabu. Mara oh waarabu
Hongera kwa Uzalendo.Hii Alger ni timu kubwa sana Yanga wajiandae kweli kweli mechi ya marudiano.Ili wapate matokeo mazuri yanga lazima wawatumie Tambwe na Ngoma (kama watakuwa fit) kwani hawakucheza kwa hiyo Alger hawawafahamu vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…