Si huyo kocha wenu alijifanyaga mbabe akampiga mtu ndoo kule singida....anapata malipo yake sasaMabeki mbona sio kama ninavyowajua kuna nini
Unaongea huku unabubujikwa machoziNyinyi mna lingine zaidi ya points. Furahieni, maana hamna furaha nyingine zaidi ya hii.
Tunapigwa kama ngoma fambaf zetuAmphibia wanaweza kuliwa kichwa
Mwiko nyuma wamekojolewa bao la 3Kuna nn jamn 😀 😀
kwahiyo we jamaa umeamua kujiitaYangaaa hiii unaifungajeeeeee
Yanga povu tu😭Ndio mtu anaadhibiwa kiasi hiki[emoji16][emoji16]