Acha!!!! Boka anahama sana kwenye eneo lake bila mahesabu Aziz anakaa sana na mpira huku Dube akikosa clear chance tutashinda ila lazima umakini mbele uongezweBoka ndo shida ilioanza.. sijui tumtoe Aziz ki tumweke Ahoua
Nenda kagongwe na wachawi tuachie sisi mambo ya mpiraSimba, Yanga na Bongo fleva zinatumika kisiasa kuwapumbaza watanzania wasahau haki zao za msingi kama katiba mpya, tume huru na utawala bora. Ukiyawekea simba na yanga tu yanasahau kila kitu,
Eeee Tp Mazembe fungeni haya matakataka yatolewe, Simba nayo itolewe.
ilipo semwa anatakiwa na timu kubwa makolo wakapingaMzize ndo forward Bora kwa sasa Afrika [emoji16]
madrid hiiHii ni Yanga kweli au?
Ni UtopoloHii ni Yanga kweli au?
Kenge kwekiNenda kagongwe na wachawi tuachie sisi mambo ya mpira
Mwenye picha ya Uzi wa warm up wa yanga Leo niwekee dm au hapa
Wapuuzi kweli wamefungwa kwa uzembe wao wa kutaka kucheza na refaInabidi tuwaite 'Tp Wazembe ' ...
Wonderkid Clement Mzize,ndio maana anasakwa na timu kutoka kila pembe ya duniaMzize ndo forward Bora kwa sasa Afrika [emoji16]
Inanuka eeh??
Liverpool wanamuhitaji usiku na mchana ila Hersi hataki kumuuza... sijui kwanini anambania huyu kijana..Wonderkid Clement Mzize,ndio maana anasakwa na timu kutoka kila pembe ya dunia
Na Liverpool pale anaingia direct kikosi cha kwanza...DARWIN NUNES Benchi litamuhusu wonderkid akitua pale.Liverpool wanamuhitaji usiku na mchana ila Hersi hataki kumuuza... sijui kwanini anambania huyu kijana..
...Ni Hayo Tu!!