Wa jana, leo, kesho na hata mileleDube ni yuleyule...
Yule nabii alimwambia utapotea tena na kuacha kufunga, then ukirudi utakuwa moto wa kuotea mbaliDube arudi kanisani, nafasi anazokosa zinatia hasira
Sasa Mazembe ana tofauti gani na Simba akikutana na YangaAnaye elewa Mazembe wanafanya nini uwanjani anisaidie kunijuza.
Hawachezi lakini wanaumia aise.Pigaa haoooo
Sema akikutana na KayokoSasa Mazembe ana tofauti gani na Simba akikutana na Yanga
DUbe kuna siku anatufurahisha kuna siku maudhiDube anatuangusha sana
Unajua kutabiri kinyumenyumeFT 1:3, Analiwa palepale kwa mkapa!!