FULL TIME: Young Africans SC 3-1 TP Mazembe| CAF CL |Benjamin Mkapa | 04.01.2025

Kwani Kuna wachezaji wanabaki kwenye team MILELE
Hujui kuhama wachezaji ni jambo la kawaida
ni kweli hawabaki, but kutengeneza team mpya kwa na kufikia viwango vile vile ni safari ndefu, waulize man city iliwachukua muda gani kufikia mafanikio, kutengeneza dream team
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…