Nzagambaaa
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,135
- 1,826
Janaa nilishudiaa Yanga Bora Sanaa utafikiri wapo 19 uwanjani.Mwanzoni mwa pichaa tu nikamshitua rafiki yangu "Yanga hawachekii na wowoote" Kuna baraa laja. Ogopaa sana Yanga wakiingia wamenunaaa juaa wanasumuu kaliii,hili analijua Belouzdad, USM alger kwao na Jana kalijua Kungulu. Sijutii kua Young Africans 🇹🇿💪🥰