Nzagambaaa
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,135
- 1,826
Hakuna mahali mtaenda, hapa tujadili vita yenu na mazembe kuitafuta nafasi ya 3.Wewe ni shabiki matokeo. Kwa mzani ulivyokaa hadi sasa huwezi kuita ndoto Yanga kufuzu robo fainali.
Na ya 5-0 unayakumbuka pia?Kwa hiyo yanakumbukwa tu ya Tabora, yale 5-1 yalishasahaulika?
Zimbwe anacheza kushoto, Kapombe kulia...kwahiyo hilo garasa lenu litawavunja migongo wote kivipi!? Kwamba litakuwa likikimbia zigzag kushoto na kulia!? Basi mmesajili mwehu.Anachezea As Vita ya Congo anacheza winger zote mbili na striker wa kati jamaa kifaa hasa na anajua kufunga babu Zimbwe na Kapombe watavunjika migongo jamaa ana speed balaa..
Mpira umeanza kufatilia lini wewe kolo?Zimbwe anacheza kushoto, Kapombe kulia...kwahiyo hilo garasa lenu litawavunja migongo wote kivipi!? Kwamba litakuwa likikimbia zigzag kushoto na kulia!? Basi mmesajili mwehu.
Zimbwe anacheza kushoto, Kapombe kulia...kwahiyo hilo garasa lenu litawavunja migongo wote kivipi!? Kwamba litakuwa likikimbia zigzag kushoto na kulia!? Basi mmesajili mwehu.
πππ Yanga inampa kila mtu burudani aiseeMpira umeanza kufatilia lini wewe kolo?
Huyo ni winger anaetembea winger zote mbili acha kuaonyesha ujinga wako au mpira unasikiliza redioni tu et..
Kuna mchezaji wao amesajiliwa hivi karibuni kila mpira yeye anapiga golini tu. Aje kula darasaFADLU ajifunze kwa YANGA namna wanavvyojaa haraka ndani ya box la mpinzani...
Forward icheze team work ..badala ya kila mmoja kukimbia kimbia tu ...
Otherwise simba inashinda but ...
Na ndo Yanga ikajifunza, ikaamua kufumba midomo, na ikafanikiwa. Aibu iliyopo kwa sasa ndo hiyo. Landa historia ijirudie, tofauti na hapo, mlijipiga kifuani, mkafunzwa. Tufunzeni sasa ndo tunyamaze. KAtumbi alisema kila goli atalilipia milioni 10. Hizo 30 Zipo Yanga. Atakaeshinda hiyo mechi, ana zake milioni 400. Sasa washikaji kabla ya mechi wengine wanahapa wanyolewe kipara, wengine wahamie Yanga, wabak huko huko waliko. Kikubwa, Yanga ikiamua,inafanya.Na ya 5-0 unayakumbuka pia?
Hizo speed zije watu tule penati...Anachezea As Vita ya Congo anacheza winger zote mbili na striker wa kati jamaa kifaa hasa na anajua kufunga babu Zimbwe na Kapombe watavunjika migongo jamaa ana speed balaa..
Sasa mlitaka tuwalambee..makolo bhana, tulipofungwa magoli ya kizembe dhidi ya AL HILAL wakasema tutamaliza wa mwisho ktk group letu.
tukafungwa tena na MC ALGERS wakashindilia msumali tutamaliza wa mwisho with no any point,manake TPMAZEMBE atatupiga nje ndani.
baada ya goli la mazembe kipindi cha kwanza wakaendelea kufurahia,DUBE akatupia,kelele zikawa nyingi,bahati,mtamaliza na pointi moja,wakongo wamepoteana,nk
tumewachapa tena mazembe kelele za mbu watatu zinaendelea,
Umenichekesha kwa kweli..Hizo speed zije watu tule penati...
π€£ π€£ π€£ π€£Umenichekesha kwa kweli..
Ahsante sana Mkuu Right eye π Yes anachezea hapo. Alivyovaa wee Mkongoman bandugu yangu kabisa π π π π π π nimecheka hapo watakaovunjwa migongo, tunamsuribia kwa hamu.Anachezea As Vita ya Congo anacheza winger zote mbili na striker wa kati jamaa kifaa hasa na anajua kufunga babu Zimbwe na Kapombe watavunjika migongo jamaa ana speed balaa..
Hahahaaa. Koh koh kohNipo neshno hapa nakula ubwabwa wa mama ntilie kabla sijazama ndani kupata burudani
Vipi unajisikiaje hapo ulipo Mtani?Mimi ni Yanga ila leo Sina Imani kabisa
Naunga mkono hojaKuna mchezaji wao amesajiliwa hivi karibuni kila mpira yeye anapiga golini tu. Aje kula darasa
Baelezee baambie baeleweVipi unajisikiaje hapo ulipo Mtani?