Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka msimamoKuna wapuuzi wameumia wakati hii michuano ya wanaume haiwahusu.
Pacome unamwambiaje?Yanga ilistahili kushinda goli 7, Dube ajitathmini, Aziz Ki aache kujikuta staa awe anatoa pasi
Hiyo ndoto hata wasiote.Hawa vyura wanaweza vuka makundi kimiujiza hivi hivi
Ngoja tuwaulize TaboraYanga hii unaifungaje.....
Lipeni viti vya watu sasaWakati wenzenu wanajiandaa na mechi nyie mlikua bize kudai viti mae zenu
Kheri ya mwaka mpya dada angu☺️❤️Hawa vyura wanaweza vuka makundi kimiujiza hivi hivi
Ongea tenaPiga hao mbwa Koko wanadhani hao ni Prison 🤪😆
Hasara za kubebwa zinajionesh
Tumefuata ubingwa, nyie huko kwa wamama hamna hata medali 😀Mtatueleza ligi ya wanaume kina mama mmefata nini?
Ipi?Hii ndio yanga tunayoifahamu 😁
Haupo timamuLeo 4/1/2025 ndio siku rasmi ya nyuma mwiko kuyaaga mashindano na tp englabaa mazembe atawachimbia yanga kaburi na kuwazika wazima wazima.
Naomba tuwaimbie mapambio yanga;
Parapandaa, italia parapandaa
Parapandaa, italiaa parapandaa
Watakuwa wamekwisha kumlaki bwana yesu mawinguni
Parapandaa, italia parapanda
Parapandaa, italia parapanda
Tp mazembe 2 Wachawi fc 0.
"KAFA PAKA, KAZIKWA NYAU"
"A man called Gonamwitu"
Hampati kituTunahitaji droo tu
Una Mjina MrefuHii ndio yanga tunayoifahamu 😁
Hahaaa mkeka umechanikaFresh mwanangu,nampa mazembe ana odds 5.1
Inakuwaje? Elezea vizuriUtopolo hakuna team hapa leo ndio nimeamin yanga huwa wanashinda kwa kuhonga team mpinzani wakikutana na team zinazo jiweza kiuchumi hali ndio inakua hivi
Hapatikani huyo kazima simuUmesha mtafuta mkuu
Endelea tu kuamini 😀Leo ndio nimeamin kua yanga hua wanapanga matokeo kwenye hizi game za lingi kuu