nchonga aliyebaki
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 574
- 834
Ni kawaida mabepari kuwanyonya wafanyakazi wao.Kama tajir kiasi hicho mbona kampuni same malipo kidoncho sana wafanyakaz wanalalamika sana
Hakuna tajiri atakae kulipa mshahara mkubwa, Mshahara ni utumwa anakupa kidogo ili kesho urudi tena akikupa kingi kesho utajenga kiwanda chako hautarudi.Kama tajir kiasi hicho mbona kampuni same malipo kidoncho sana wafanyakaz wanalalamika sana
Imeonyeshwa kwa ndani tu Mkuu wewe umejuaje kma sio ya masaki?Acha kupotosha umma wewe. Hiyo nyumba sio ya Mzee S.S Bakhresa. Kama hujui mambo uliza.
Hiyo nyumba ni ya mtoto wake iko Mikocheni. Mzee S.S.B anaishi Masaki.
Pambana na hali yako mkuu, usije kujipiga kitanzi bure.