Mama Obama
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 1,621
- 1,087
hahaha..usi-panic kwanza sio Bakiressa=bakhresa.. nimesha-kujuza wewe ni mshezi/upuuzi na una mtindio wa ubongo.. .. Jaribu kupevuka ki-fikra na kiakili zaidi ya hapo utazidi kuonekana mwendawazimu na mpuuzi na kuambulia maneno machafu..Je kwa point zako dhaifu na nyepesi hudhani kwamba na wewe umejiwekea ukuta mzito katika jamii yako kwa lugha unayotumia..( kwa sisi wa standard 7).. Ndio maana nakuambia hujui na hujui kwamba hujui.Ovaaaaaaaaaaa..
Mbona unakasilika? Wether Bakiressa or Bakiressa doesn't it matter? WACHA kuwa mutumwa. Mali bila Mali wote kifo kinatungoja na vyote vitabski hapa hapa duniani. WACHA hasira za kijinga. Tunapigania mini Mali za mwarabu? pls get a life, that was my only opinion. Let us agree to disagree.