Uliyerekodi hii ni mchonganishi, unamtafutia ubaya na serikali hii.
Noma sana yani, kwa hali hii ya kuridhika na mishahara ya mil.3 tutafika kweli huko? Kweli ujasiriamali ndio msema kweli wazeeYusuf huyo ndo anapendaga show off kidogo,mzee bakhresa picha zake tu zilizoko mtaani n za kuhesabu seuze video.jamaa yuko reclusive sana kama bosi wa ZARA Amancio Ortega.Alafu bakhresa kaanza kuhustle tokea miaka ya sabini huko,kwahyo kuwa na hela mingi ni haki yake.Kama huamini anzisha mradi wako ukomae nao walau miaka 15-20 uone kama hutafanikiwa
Maa Sha Allah, huyu jamaa kiboko, sasa hao matajiri walioko top ten duniani wakoje!!!? Kama huyu tu wetu hali ya hom iko hivi.....Hii video chini inaonesha maisha halisi ya said salim backhresa , Na Mali anazomiliki ndani,
Magari ya kifahari zaid ya 20 ndani, Na mengine jionee
Hahahwaswahili tunashida sana tunawakaribisha majumbani kwetu mnaanza kutoa sm zenu nakuanza kupiga Picha , shubamit mmenikera Sana
lakini sitting room gani hakuna sub woofer ilipaswa tuone sub woofer hapo ili sisi wakwamtogole tufarijike kuwa hata mtoto wa bharesa anasubwoofer piano
haaaaa haaaa haaa
basite akiiona hii lazima afuate gari mojawapoBashite kesho ataenda kuanzisha visa apate ata moja wapo ya gari hizo
watakachomfaya hatasahau... mali zake zote zitakaguliwaMkuu wa jiji na 'daddy' wake wanaangalia tu, subiri wafuate vyao.
Hao ni wa chini na usikute hata vyeti vya 4 hawana,Kama tajir kiasi hicho mbona kampuni same malipo kidoncho sana wafanyakaz wanalalamika sana
Waulize kina mkapa na sumaye nini kilitokea baada ya kumwaga unga wa Bakhresa kwa figisu.Bashite aendelee na haohao kina GSM,bakhresa ni moto mwengine aisee.watakachomfaya hatasahau... mali zake zote zitakaguliwa