barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Hao ni wa chini na usikute hata vyeti vya 4 hawana,
Ninavyojua mimi wafanyakazi wake wengi wana gudlife tu na kuna wengine mpaka nyumba wanalipiwa na kampuni basi tu binadamu huwa haturidhiki!
Mtahamisha sana magoli raundi hii!Waulize kina mkapa na sumaye nini kilitokea baada ya kumwaga unga wa Bakhresa kwa figisu.Bashite aendelee ja haohao kina GSM,bakhrealsa ni moto mwengine aisee.
Hv vipasso namba D ni zaidi ya hyo gari namba B? bangi mbaya sanaGari lisiwe la gharama lakini liwe namba D kama hiyo Range
Aliepost kamtafutia matatizo mweny mali...na hiv ya manj yameisha sasa ngoja waswitch zonebasite akiiona hii lazima afuate gari mojawapo
Masaki, obey, mikocheni, posta akienda mbali sana airport kupanda ndege. Au ulifikiri anafikaga mbezi huko mabondeni malamba mawili?Hizo low riders hapa Tz anaziendesha barabara hani??
Imeonyeshwa kwa ndani tu Mkuu wewe umejuaje kma sio ya masaki?
Au wewe ndye motto wa bhakresa
Nimeuliza maksudi, nikitegemea jibu kama hili!Masaki, obey, mikocheni, posta akienda mbali sana airport kupanda ndege. Au ulifikiri anafikaga mbezi huko mabondeni malamba mawili?
Uongo wa kiwango cha PhDTafuteni na video ya Mo dewje
Jamaa katengeneza Ikulu, yaani kijiji
Baba atakuwa masikiniSasa kama mtoto yuko hivi, baba atakuaje?
Na wewe na mimi ili tumpate Bakhresa Tufanyeje?!Utajiri unazidiana. Ili Bakhresa ampate Dangote basi ajichangechange mara kumi ya sasa
Bashite kesho ataenda kuanzisha visa apate ata moja wapo ya gari hizo
Asubiri highway ya Magufuli ya pembezoni mwa mji.!
!
Daaah! Cha kuhuzunisha ni kwamba ukute hata havitumii vimekaa tu
Kamuoneni 'mtaalam'!Na wewe na mimi ili tumpate Bakhresa Tufanyeje?!
Tenda yaliyo Mema utavikuta Peponi, Duniani Wewe tayari ni fungu la kukosaNa wewe na mimi ili tumpate Bakhresa Tufanyeje?!
Wewe ni mwanaume?