Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tofautisha, sudi ni mwanahabari ana haki ya kuhoji chochote, mama wema alijizaa kabisa Kwa wema, ndo maana balozi sepetu alimshindwa huyo mama, hajatulia kabisa .Ila huyu sudi ipo siku atapigwa au atatukanw redion live yaan sidhan km ni adabu pia kumhoji mzaz yoyte mambo yasiyokuhusu et kazi,mm naona anapokwend pabaya mama wema kamjibu uzur sana,ingawa mm wema huwa simuelew kbsaaaa mambo y mwanae yy yuko mbele
Sudy ptyuuuuu
Mnyaturu liveHuyu mama si mzima kichwani!
Mama mtu mzima anagombana na kijana mdogo kwenye media halafu alaumiwe Soudy? Soudy B hiyo ndio kazi yake, mambo yote ya design hiyo yanamuhusu bila kujali yamefanywa na mzazi/ bibi/ aunt/ mpwa. La muhimu ni huyo mzazi aishi na ku-behave kama mzazi.Ila huyu sudi ipo siku atapigwa au atatukanw redion live yaan sidhan km ni adabu pia kumhoji mzaz yoyte mambo yasiyokuhusu et kazi,mm naona anapokwend pabaya mama wema kamjibu uzur sana,ingawa mm wema huwa simuelew kbsaaaa mambo y mwanae yy yuko mbele
Sudy ptyuuuuu
Naona na wewe utafurahi sku mama yako akiwekw kwenye media kama hvyoMama mtu mzima anagombana na kijana mdogo kwenye media halafu alaumiwe Soudy? Soudy B hiyo ndio kazi yake, mambo yote ya design hiyo yanamuhusu bila kujali yamefanywa na mzazi/ bibi/ aunt/ mpwa. La muhimu ni huyo mzazi aishi na ku-behave kama mzazi.
Kumbuka nazi haishindani na jiwe mkuu mzazi hakosei ata utambue, ivo sidhani kama ungeweza kuchukua hatua yoyote labda kwa mama wa kufikiaAngekuwa mama yangu huyu sijui ingekuwaje.....
Kweli kabisa,lakini anachokifanaya huyu mama ni aibu kwa familia.Kumbuka nazi haishindani na jiwe mkuu mzazi hakosei ata utambue, ivo sidhani kama ungeweza kuchukua hatua yoyote labda kwa mama wa kufikia
Huyu mama msh.nz kihuhalisia pia....ndomana hata ile nyumba yake sinza alikuwa na tAbia ya kupangisha mara mbili mbili....kwa Wakati mmoja.....tAbia yake siyo..Kweli kabisa,lakini anachokifanaya huyu mama ni aibu kwa familia.
Atukanwe mara ngapi???kashatukanwa sana tu but hiyo ni kazi yake....sioni anapokosea.Pili kumbuka anaporusha mahojiano redioni huwa ni recorded na edited...ndiyo maana kwenye sehemu zenye matusi huwa anaminya...mfano mzuri ni hii ya mama Sepenga...nilisikiliza audio yake youtube...lkn mwisho bibie alitukana kama kawaida yake but matusi yaliminywa....Ila huyu sudi ipo siku atapigwa au atatukanw redion live yaan sidhan km ni adabu pia kumhoji mzaz yoyte mambo yasiyokuhusu et kazi,mm naona anapokwend pabaya mama wema kamjibu uzur sana,ingawa mm wema huwa simuelew kbsaaaa mambo y mwanae yy yuko mbele
Sudy ptyuuuuu