Haya ndugu zangu kama kawaida yangu ikitokea fursa nawatonya.
Wengi waliniuliza kuhusu undergraduate, haya fursa ndo hiyo ya kwenda uturuki.
Application ni simple sana just visit website Yao, na unaweza apply hata kama huna passport UKATUMIA national ID.
Mimi kama kawaida yangu ni kuwasaidia walio bize na wasiolewa kwa kuwafanyia application (ila sio bure)
Nitafute Whatsapp 0622905303
Age requirement ni kama ifuatavyo:
Undergraduate - under 21 years
Masters - under 30 years
Najua age wengi inatutema๐๐
Ila Nina wazo,
Mnaonaje wakati wa application kwenye supporting documents ukaweka "Appeal to equity regarding age requirement"
Then katika maelezo Yako ukaweka ni due to education system ya Tanzania.......
Ila ni wazo tu, unaweza ukabeba au ukaacha
Wish you all the best
Wengi waliniuliza kuhusu undergraduate, haya fursa ndo hiyo ya kwenda uturuki.
Application ni simple sana just visit website Yao, na unaweza apply hata kama huna passport UKATUMIA national ID.
Mimi kama kawaida yangu ni kuwasaidia walio bize na wasiolewa kwa kuwafanyia application (ila sio bure)
Nitafute Whatsapp 0622905303
Age requirement ni kama ifuatavyo:
Undergraduate - under 21 years
Masters - under 30 years
Najua age wengi inatutema๐๐
Ila Nina wazo,
Mnaonaje wakati wa application kwenye supporting documents ukaweka "Appeal to equity regarding age requirement"
Then katika maelezo Yako ukaweka ni due to education system ya Tanzania.......
Ila ni wazo tu, unaweza ukabeba au ukaacha
Wish you all the best