nawasalimu wrote.
nipo naishi Morogoro mjini na nimepata mtaji kidogo wa mil 2 hivi, wazo langu nije dar kuanza biashara au ujasiriamali.
kinachonisumbua ni kua, mimi sio mzoefu na jilo jiji licha ya kua hua naingia na kutoka na dar ninayoifahamu mimi ni ya miaka minne iliyopita.
binafsi nilikua na mawazo mawili, moja ni kufungua duka la bidhaa hizi za sukari ,mchele, sabuni nk na pili ni biashara ya mgahawa wa chakula japo mgshawa sijawahi kbs kuufanya maishani mwangu
naomba kwa anayoifahamu Dar vizur anipe mwongozo zaidi ili nifanye kilicho bora
nipo naishi Morogoro mjini na nimepata mtaji kidogo wa mil 2 hivi, wazo langu nije dar kuanza biashara au ujasiriamali.
kinachonisumbua ni kua, mimi sio mzoefu na jilo jiji licha ya kua hua naingia na kutoka na dar ninayoifahamu mimi ni ya miaka minne iliyopita.
binafsi nilikua na mawazo mawili, moja ni kufungua duka la bidhaa hizi za sukari ,mchele, sabuni nk na pili ni biashara ya mgahawa wa chakula japo mgshawa sijawahi kbs kuufanya maishani mwangu
naomba kwa anayoifahamu Dar vizur anipe mwongozo zaidi ili nifanye kilicho bora