Maisha haya! mchana inzi, usiku mbu..
Maisha haya! mchana inzi, usiku mbu..
jamani hee subhanallahhhh!!!!! hheheeeheheh rose, michelle ,afrodenzi ,maria roza,fastlady1, preta jamani muapi???? njooni muone mambo huku...... heheheheh na mi nshachukuwa kozi hapa ya yule mama mmoja mzurri kweli kweli hehehehe.....abiria chunga mzigo wako,,,heheheheh leo nimecheka asnte ndugu kwa post yako..heheheheheh lol..:msela::msela::msela::msela::msela::msela::msela:
Umejifunza nini Nilham kwenye kozi hii?
Umgefanya nini kama wewe ungefumania au ungefumaniwa?
Ujinga Mtupu!
ajabu wanawake (wanahabari) kumnyanyasa [kijinsia??] mwenzao. inavoonekana baba mwenye nyumba kamchoka wife wake alitaka amuonyeshee ili kama atafunga virago afunge lakini kakuta wife 'kitchen party' imemkaa sawa sawa - kamsamehe mpaka akhera!
ajabu wanawake (wanahabari) kumnyanyasa [kijinsia??] mwenzao. inavoonekana baba mwenye nyumba kamchoka wife wake alitaka amuonyeshee ili kama atafunga virago afunge lakini kakuta wife 'kitchen party' imemkaa sawa sawa - kamsamehe mpaka akhera!
Waandishi wanahabari wenyewe ni Mashangingi Manungaembe na hawafai kuwa waandishi hata kidogo sababu wapo Biased ktk kazi yao, they are fanatics. Huwezi kuwa hivyo sababu ya legal reasons. Eti journalists, journalists my bum!!
Takataka tupu! Mwanamke anazidi kujidhalilisha ktk jamii wakati mwanaume anazidi ku-gain confidence. Nilitegemea mwanaume ane angetolewa ktk video, kumbe wanajitoa wanawake wenyewe . . . .
Sasa naanza kuelewa kwanini post za wanawake ni nyingi sana hapa JF kuliko za wanaume
Kweli kabisa wamemdhalilisha dada wa watu, tena ni mke mwenzake.... huyo dada angewezaje kuja mwenyewe na kuingia ndani.... Na huyo mama kwa jinsi asivyo na akili eti hawezi kuacha mali zote sh...zi, kweli siku zote wanawake wataendelea kupuuzwa sababu hawajui nini mnahitaji kutoka kwa waume zao....:embarrassed:!!!Takataka tupu! Mwanamke anazidi kujidhalilisha ktk jamii wakati mwanaume anazidi ku-gain confidence. Nilitegemea mwanaume ane angetolewa ktk video, kumbe wanajitoa wanawake wenyewe . . . .
Sasa naanza kuelewa kwanini post za wanawake ni nyingi sana hapa JF kuliko za wanaume