Fumanizi kitaani kwetu

Cha ajabu ni kwamba huyo dada ni mzuri na wameoana kama mwaka hivi umepita ndoa bado changa na pia jamaa amemnunulia gari mkewe yaani ilikuwa maswali mtaa wote wanajiuliza huyu mama alikuwa anapata nini kwa yule mmachinga

Yawezekana jamaa kazi haiwezi mpaka kucha anaweza mambo na jamaa kapendewa vijisenti vyake
 
mashuhuda wa tukio wanasema kuwa yule mwenye mke alipoiona chupi pale sebuleni nguvu zilimwishia akaichukua akainusa sasa sijui alikuwa anasikiliza harufu ya bao?

Eeeeeehhhhhh Mbavu jamani teeehhhh eeeehhhhhee!!!!!!, aaaaaagh SI JA CHEKA KAMA LEOOO!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…